Ubaya ubwela: Zaylisa kamkaanga Haji Manara Na Mafuta Yake Mwenyewe

Kimenuka Kwa Haji Manara, Hii ni Zaidi ya Kunuka.

Kumbe Mke alikuwa anamrekodi Manara kila hatua na kila akichokuwa anakisema kuhusu Mabosi wake.
Voice note zimevuja Manara akimsema Vibaya Tajiri yake GSM tena na mke pia wa Tajiri.

Alichokifanya Zaylisa ni Ubaya Ubwela, Tajiri Sarah wa Sailenti osheni nae ni Sehemu ya Watu waliopewa za Uso, Unaambiwa Jamaa kawavua nguo Matajiri hawa.

Hakuishia hapo alifika mbali hadi Kumsema Msanii Wetu wa Siyo Leo toka Zamani Mnyama mtoto wa Msimbazi bosi wa Dc Mwijaku.Mfalme kavuliwa nguo zote.

Msanii Ruby naye kaingia kwenye sakata Hilo la kutusiwa!!!

Zaylish kafanya Ubaya Ubwela kamwaga mboga na Ugali, alikuwa anachukua Record zote Taangu walipokuwa wanaishi nae, Leo kavujisha Voice note zote.

Kifupi Haji aliishi na Nyoka ndani bila kujua, Leo kawa adui kwa Matajiri walokuwa wanamuweka Mjini, Matajiri waliokuwa wanampa pesa za Honeymoon anapanda hadi head copter Kwenda kula maisha Serengeti.
Leo Matajiri wamekuwa wabaya kwake.
Previous Post
No Comment
Add Comment
comment url